Shariy’ah Ya Dini ImekamilikaImaam Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah)

Shariy’ah Ya Dini Imekamilika

Imaam Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah)



Imaam Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah) amesema:

Shariy’ah ya Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ni shariy’ah iliyokamilika kabisa, haikuacha jambo lolote jema lililojulikana na werevu isipokuwa ameliamrisha. Na hakuacha jambo lolote lillilokua ovu na ambalo limejulikana na werevu isipokua amelikataza. Hakuamrisha jambo na watu wakasema "Laiti kama asingeliamrisha". Na Hakukataza jambo wata wakasema "Laiti kama asingelikataza"

[Al-Bidaayah Wan-Nihaayah (6/79)]

No comments:

Post a Comment

Maulid Bin Swaleh

JINSI ULAJI WA TENDE UNAVYOSAIDIA LEBA YA UZAZI

JINSI ULAJI WA TENDE UNAVYOSAIDIA LEBA YA UZAZI ✍️Abdillah Kitota., MMDSC. وَهُزِّي إِلَيْكِ بِجِذْعِ النَّخْلَةِ تُسَاقِطْ عَلَيْكِ رُطَبًا...