Hukumu ya kuweka(kupaka) makeup kwa wanawake.



حكم وضع مكياج للنساء!
 HUKUMU YA KUWEKA (KUPAKA) MAKEUP💄 KWA WANAWAKE!

سئل ﺍﻟﺸﻴﺦ الإمام الأثري ابن باز - رحمہ الله تعالــﮯ -
Aliulizwa Swali Sheikh imamu mwenye kufuata sunnah Ibn Baaz- Allah aliyetukuka amrahamu-

السؤال:
Suali: 🎤*


ما حكم وضع المكياج على وجه المرأة،
Ni ipi hukumu ya mwanamke kuweka (kupaka) makeup

إذا كانت لا تبدو للأجانب،

Ikiwa hajidhihirishi kwa (wanaume) wa kando,

وإنما تظهر أمام النساء؟
Na hakika si vinginevyo (ikiwa) hudhihiri (huonekana) mbele ya wanawake (wenzake)?

الجواب:
Jawabu: 📚

المكياج إذا  كان لا يضر وجهها،

Makeup ikiwa haidhuru uso wake (mwanamke),


 لا بأس به،

Basi si vibaya (kuitumia inafaa),


 لكن تزيله عند الوضوء،

Lakini aiondoe wakati wa kutawadha,


إذا كان له جسم يمنع الماء، 

Ikiwa inaumbile linalozuia maji,


أما إذا كان يضر وجهها،

Ama ikiwa inadhuru uso wake,


 يسبب مرضا أو بقعا سوداء،

(Na) inasababisha maradhi au vibaka vyeusi,


أو ما أشبه ذلك،

Au mfano wa hayo,


فإنها تتركه،

*Bila shaka huyo (mwanamke) aiache (asipake),


 لأنه حينئذ فيه مضرة،

Kwa sababu (hiyo makeup) muda huo inamadhara ndani yake,


 أما إذا كان يجمل وينور،

Ama ikiwa (makeup) ina remba au inang'arisha (uso),


ولكن لا يضر فلا بأس.

Lakini haidhuru, basi hakuna ubaya (kuitumia).


📚 المصدر: فتاوى نور على الدرب (1011)

[ Chimbuko: Fataawa nuur 'aala ddarb (1011) ]

Mfasiri: Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde - Allah amuhifadhi
Dar es salaam, Tanzania 🇹🇿

Tuwe waadilifu na twaa: usiongeze wala kupunguza kitu ktk makala hii.

No comments:

Post a Comment

Maulid Bin Swaleh

JINSI ULAJI WA TENDE UNAVYOSAIDIA LEBA YA UZAZI

JINSI ULAJI WA TENDE UNAVYOSAIDIA LEBA YA UZAZI ✍️Abdillah Kitota., MMDSC. وَهُزِّي إِلَيْكِ بِجِذْعِ النَّخْلَةِ تُسَاقِطْ عَلَيْكِ رُطَبًا...