Karibu katika blog hii kwa kupata nasheed , qur an na vinginevyo vinavyohusu dini ya uislamu unaweza kupata video zetu kupitia channel yetu ya youtube ambayo ni Maulid Bin Swaleh pia usisahau kusubscribe yetu(Welcome in this blog to get qaswida , nasheed , qur an ,and others inside the islamic)
Mtoto anapopiga chafya.
MTOTO ANAPO PIGA CHAFYA*🎤
قال الشيخ صالح بن فوزان الفوزان حفظه الله :
Amesema Sheikh Swaaleh fauzaan bin Fauzaan- Allah amhifadhi-
"أما الصغير إذا عطس فإنه ﻻ يشمت ولكن يدعو له بالبركة يقال:
Ama mtoto mdogo akipiga chafya hakika haombewi dua (kwa kuambiwa “yarhamuka Allah” lakini ataombewa dua ya Baraka ataambiwa:
بارك الله فيك لأنه عطس طفل عند النبي صلى الله عليه وسلم فقال :
Baaraka Allahu fiika, kwakua alipiga chafya mtoto mbele ya mtume swallah Allahu Alaih wasalam Akasema Mtume:
(بارك الله فيك)
(Baaraka Allahu fiika)
وأمر الطفل إذا عطس أن يحمد الله من باب التعليم."
*Na ama kumuamrisha mtoto anapo piga chafya amhimid Allah (aseme Alhamdulillah) ni katika mlango wa Kumfunza*
📚 المصدر: شرح منظومة الآداب الشرعية (ص٢٨٠)
[ Chanzo: Sharhu Man-ndhuumat Aadaab As-shar'iyyah (ukurasa wa 280) ]
Kwa maana hio watoto wetu khasa wale ambao hawajaanza kusema wakipiga Chafya tunawaambia “Baaraka Allahu fiika”
Ama wale ambao wameanza kuongea tutawaambia waseme “Alhamdulillah” na kisha nasi tutasema Yarhamuka Allah na kisha tutawaeleza waseme “yahdiikumu Allahu wayuslih Baalakum”.
Na Allah ndiye mjuzi zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Maulid Bin Swaleh
JINSI ULAJI WA TENDE UNAVYOSAIDIA LEBA YA UZAZI
JINSI ULAJI WA TENDE UNAVYOSAIDIA LEBA YA UZAZI ✍️Abdillah Kitota., MMDSC. وَهُزِّي إِلَيْكِ بِجِذْعِ النَّخْلَةِ تُسَاقِطْ عَلَيْكِ رُطَبًا...

-
Jaa'far Mponda-Miski ya roho
-
Karibu katika blog hii kwa kupata taarifa mbalimbali juu ya dini ya kiislamu kama vile ,nasheed,qur an,mawaidha na vinginevyo.
-
صيام التاسع مع العاشر أفضل من صيام الحادي عشر مع العاشر. *KUFUNGA (SIKU) YA TISA (9) NA KUMI (10) NI BORA ZAIDI KULIKO KUFUNGA SIKU YA...
-
Imekusanywa na: Ummu Iyyaad Haki za mume na mke zimedhihirishwa katika Qur-aan na Sunnah. Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Anasema: ...
No comments:
Post a Comment